Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Orodha ya wagombea wadhifa wa Mkurugenzi Mkuu yatangazwa rasmi na IAEA

Orodha ya wagombea wadhifa wa Mkurugenzi Mkuu yatangazwa rasmi na IAEA

Shirika la UM Kuhudumia Matrumizi ya Amani ya Nishati ya Nyuklia (IAEA) limetangaza kuwa limepokea orodha rasmi ya wagombea uchaguzi wa cheo cha Mkurugenzi Mkuu mpya wa taasisi hii ya kimataifa baada ya kiongozi wa sasa Mohamed ElBaradei kutangaza atastaafu atakapomaliza muda wake mwaka huu.