Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

WHO imethibitisha vifo vya malaria Zambia vimeteremka kwa asimilia 60 ziada

WHO imethibitisha vifo vya malaria Zambia vimeteremka kwa asimilia 60 ziada

Shirika la Afya Duniani (WHO) limeripoti taifa la Zambia limefanikiwa kupunguza vifo vya malaria nchini kwa asilimia 66, kwa kutumia miradi maalumu ya dharura iliosaidia kudhibiti bora ugonjwa huu maututi.