23 Aprili 2009
Shirika la Afya Duniani (WHO) limeripoti taifa la Zambia limefanikiwa kupunguza vifo vya malaria nchini kwa asilimia 66, kwa kutumia miradi maalumu ya dharura iliosaidia kudhibiti bora ugonjwa huu maututi.
Shirika la Afya Duniani (WHO) limeripoti taifa la Zambia limefanikiwa kupunguza vifo vya malaria nchini kwa asilimia 66, kwa kutumia miradi maalumu ya dharura iliosaidia kudhibiti bora ugonjwa huu maututi.