Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mataifa yanayomiliki viwanda vya nyuklia yakutana Beijing kusailia sera ya karne ya 21

Mataifa yanayomiliki viwanda vya nyuklia yakutana Beijing kusailia sera ya karne ya 21

Shirika la UM juu ya Matumizi ya Amani ya Nishati ya Nyuklia (IAEA) limeandaa Mkutano wa Kimataifa mjini Beijing, Uchina uliokusanyisha mawaziri 30 wa nishati pamoja na wajumbe kutoka nchi 65, kwa madhumuni ya kuzingatia matumizi ya nishati ya nyuklia kwa karne ya ishirini na moja.