Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Coomaraswamy atazuru JKK kusailia hifadhi bora kwa watoto

Coomaraswamy atazuru JKK kusailia hifadhi bora kwa watoto

Mjumbe Maalumu wa KM juu ya Hifadhi ya Watoto kwenye Mazingira ya Uhasama na Mapigano, Radhika Coomaraswamy anatarajiwa kuzuru Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (JKK) kuanzia tarehe 14 Aprili mpaka 21, kufuatia mwaliko wa Serikali.