Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Jumuiya ya kimataifa itafanyisha mkutano wa kuzingatia haki za binadamu Darfur

Jumuiya ya kimataifa itafanyisha mkutano wa kuzingatia haki za binadamu Darfur

Kadhalika, kwenye mji mkuu wa Jimbo la Darfur Magharibi wa El Geneina, mnamo Ijumanne ya tarehe 14 Machi (2009) kutafanyika kikao cha pili cha kuzingatia namna Haki za Binadamu zinavyotekelezwa katika Darfur.