Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wahudumia misaada ya kiutu Darfur watekwa nyara

Wahudumia misaada ya kiutu Darfur watekwa nyara

Wafanyakazi wa kike wawili wenye kuhudumia misaada ya kihali Darfur Kusini, wanaowakilisha mashirika yasio ya kiserikali ya Ufaransa, Ijumapili usiku, walitekwa nyara kutoka makazi yao baada ya kushikiwa bunduki wao na walinzi, na majambazi wasiotambulika.