6 Aprili 2009
Wafanyakazi wa kike wawili wenye kuhudumia misaada ya kihali Darfur Kusini, wanaowakilisha mashirika yasio ya kiserikali ya Ufaransa, Ijumapili usiku, walitekwa nyara kutoka makazi yao baada ya kushikiwa bunduki wao na walinzi, na majambazi wasiotambulika.