Mijadala leo katika Makao Makuu
Baraza la Udhamini leo linazingatia suala la mgogoro wa chakula duniani, na pia kujadilia sera za kutumiwa, kipamoja, na Mataifa Wanachama ili kuhakikisha haki ya mwanadamu kupata chakula hutekelezewa umma wa kimataifa kote ulimwenguni.