Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mabomu yaliotegwa yaendelea kuhatarisha watoto, kuonya UNICEF

Mabomu yaliotegwa yaendelea kuhatarisha watoto, kuonya UNICEF

Shirika la UM juu ya Mfuko wa Maendeleo kwa Watoto (UNICEF) limeripoti kwamba mabomu yaliotegwa ardhini, pamoja na mabaki ya silaha zilizowachwa kwenye eneo la mapambano baada ya vita kumalizika, ni viripuzi vinavyoendelea babdo kuhatarisha maisha ya watoto katika kadha wa kadha ulimwenguni.