Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mataifa wanachama kuashiria mafanikio ya kuridhisha kuhusu Mkutano wa Durban

Mataifa wanachama kuashiria mafanikio ya kuridhisha kuhusu Mkutano wa Durban

Ofisi ya Kamishna Mkuu wa UM juu ya Haki za Binadamu imearifu kuwa wawakilishi wa serikali wanachama wana imani ya kupatikana mafanikio ya kuridhisha katika kikao kijacho cha mapitio kuhusu masuala ya ukabila, ubaguzi wa rangi, matatizo ya chuki dhidi ya wageni na utovu wa kustahamiliana kitamaduni.