Uamuzi wa Kenya kuwarejesha wahamiaji Usomali waitia wasiwasi UNHCR
Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) limetangaza kuingiwa wasiwasi kuhusu mtindo wa karibuni wa Serikali ya Kenya wa kuwarejesha kwa nguvu Usomali, wale wahamiaji wenye kuomba hifadhi.