Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UM waonya kua vitongoji vya maskini kuongezeka mara tatu kutokana na mizozo ya kiuchumi

UM waonya kua vitongoji vya maskini kuongezeka mara tatu kutokana na mizozo ya kiuchumi

Akiufungua mkutano wa 22 wa shirika la Makazi la UM, UN Habitat, Makamu Rais wa Kenya Kalonzo Musyoka alisema, kuna haja ya kusisitiza juu ya mipango na kugharimia ujenzi wa nyumba ambazo watu wa tabaka la chini wanaweza kumudu, ili kuweza kupata maendeleo ya kudumu katika miji.