Ushirikiano mpya wa Finland na UM kulinda misitu
Shirika la Chakula na Kilimo FAO na serekali ya Finland zimezindua mpango mpya wa miaka minne, utakaogharimu dola milioni 14 kwa lengo la kusiadia nchi zinazoendelea kulinda rasilmali yao ya misitu na kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa.