Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

IOM, UNHCR, watoa chombo kuwaelimisha wahamiaji wepya ulaya

IOM, UNHCR, watoa chombo kuwaelimisha wahamiaji wepya ulaya

Katika juhudi za kuwaelimisha wahamiaji wepya wanaoingia nchi za Umoja wa Ulaya EU, Shirika la Kuwahudumia Wakimbizi UNHCR, likishirikiana na Shirika la Kimataifa la Uhamiaji IOM, na msaada kutoka EU wamezindua hii leo chombo kipya chenye jina la "Not Just Numbers" siyo takwimu pekee.