Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNHCR imegundua ni Wangola wachache wanaotaka kurudi nyumbani

UNHCR imegundua ni Wangola wachache wanaotaka kurudi nyumbani

Utafiti mpya wa shirika la kuwahudumia wakimbizi la UM UNHCR, na serekali ya Zambia umegundua kwamba ni wakimbizi 251 wa ki-Angola kati ya elfu 10 katika kambi ya wakimbizi ya Mayukwayukwa, wenye haja ya kurudi nyumbani mwaka huu licha ya kampeni inayowahimiza kufikiria kurudi nyumbani.

                                             Mwakilishi wa UNHCR huko Zambia