25 Machi 2009
Shirika la Chakula na Kilimo Duniani FAO, limesema kwamba China imeingia katika jumuia ya wafadhili wa kuu wa shirika hilo, kwa kutoa dola milioni 30 kuanzisha fuko maalumu la kuimarisha uzalishaji chakula katika nchi zinazoendelea.
[
Shirika la Chakula na Kilimo Duniani FAO, limesema kwamba China imeingia katika jumuia ya wafadhili wa kuu wa shirika hilo, kwa kutoa dola milioni 30 kuanzisha fuko maalumu la kuimarisha uzalishaji chakula katika nchi zinazoendelea.
[