Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mahojiano na Naibu Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu ya Kenya Hassan Omar

Mahojiano na Naibu Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu ya Kenya Hassan Omar

Muasisi wa kundi la kutetea Haki za Binadamu "Oscar Foundation", Oscar Kamau Kingara aliuliwa pamoja na mshauri wake wa habari John Paul Oulu wakiwa garini karibu na chuo kikuu cha Nairobi.