Rais wa Sudan atembelea Eritrea bila ya kukamatwa
Rais Omar Al-Bashir wa Sudan amabae amefunguliwa mashtaka na Mahakama ya Uhalifu wa Kimataifa, ICC, alipokelewa na kiongozi mwenzake Isaias Afwerki wa Eritrea na wananchi, licha ya kwamba kuna hati ya kimataifa ya kukamatwa kwake.