23 Machi 2009
KM wa UM Ban Ki-moon amesisitisza umuhimu wa maji kama nguvu za kungana pamoja kuliko kiungo cha mizozo, akihimiza kwamba mustakbala wa pamoja wa dunia unategemea jinsi inavyosimamia rasilmali yake hii tunu.
KM wa UM Ban Ki-moon amesisitisza umuhimu wa maji kama nguvu za kungana pamoja kuliko kiungo cha mizozo, akihimiza kwamba mustakbala wa pamoja wa dunia unategemea jinsi inavyosimamia rasilmali yake hii tunu.