Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mahojiano na Bw M’Bisima Ntakobajira, Mtetezi wa Haki za Binadamu huko Bukavu DRC

Mahojiano na Bw M’Bisima Ntakobajira, Mtetezi wa Haki za Binadamu huko Bukavu DRC

Abdushakur Aboud amezungumza na mtetezi wa haki za binadamu, Mwenyekiti wa Kundi la Kutetea na Kulinda Haki za Binadamu huko Bukavu, Bw M'Bisima Ntakobajira, anaethbitisha kuzorota kwa Haki za Binadamu nchini DCR.