Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Siku ya kimataifa ya kukomesha Ubaguzi wa Rangi

Siku ya kimataifa ya kukomesha Ubaguzi wa Rangi

Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu, Navi Pillay amesema mamilioni ya watu kote duniani wanaendelea kua wathirika wa ubaguzi wa rangi na kikabila.