20 Machi 2009
Shirika la kuwahudumia wakimbizi la UM UNHCR limetangaza Ijumaa kwamba mashambulio yanayofanywa na waasi wa kihutu kutoka Rwanda yanaendelea kusababisha watu kukimbia makazi yao huko mashariki ya JKK.
.
Shirika la kuwahudumia wakimbizi la UM UNHCR limetangaza Ijumaa kwamba mashambulio yanayofanywa na waasi wa kihutu kutoka Rwanda yanaendelea kusababisha watu kukimbia makazi yao huko mashariki ya JKK.
.