Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNHCR inasema mashambulio mepya ya waasi ya wakimbiza raia DRC

UNHCR inasema mashambulio mepya ya waasi ya wakimbiza raia DRC

Shirika la kuwahudumia wakimbizi la UM UNHCR limetangaza Ijumaa kwamba mashambulio yanayofanywa na waasi wa kihutu kutoka Rwanda yanaendelea kusababisha watu kukimbia makazi yao huko mashariki ya JKK.

.