Haki za Binadamu za zorota DRC
Mapema wiki hii naibu Kamishna wa Haki za Binadamu Kyung-wha Kang ameliambia Baraza la haki za Binadamu mjini Geneva ingawa dunia nzima imekua ikizingatia juu ya ugomvi katika eneo la mashariki lenye ghasia huko JKK, ukiukaji wa haki za binadamu umekua ukitokea katika sehemu nyenginezo za taifa hilo kubwa la Afrika.