Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Msaada wa Japan kwa kusaidia kukabiliana na athari za mzozo wachakula Africa

Msaada wa Japan kwa kusaidia kukabiliana na athari za mzozo wachakula Africa

Msaada wa dola milioni 16 kutoka kwa serekali ya Japan, utaweza kulisaidia shirika la kimataifa la uhamiaji IOM, kukabiliana na baadhi ya athari kutokana na mzozo mkubwa wa chakula unaowakabili wahamiaji huko Pembe ya Afrika pamoja na Mashariki na Kusini ya bara hilo.