Kesi mpya za kutoweka zaidi ya watu 300 kushughulikiwa na tume ya UM
Kamati ya UM ya kufuatilia kutoweka kwa nguvu au kwa hiyari watu, ina mpango wa kutathmini kesi mpya za kutoweka watu wengine 326 zilizowasilishwa na habari mpya kutoka nchi 32 za dunia wakati wa kikao cha kwanza kati ya tatu ya mkutano wamwaka wiki hii.