9 Machi 2009
Akiongeza sauti yake kwa mlolongo wa sauti za maafisa wa UM kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, KM Ban Ki-moon, alitoa mwito jana, wa kukomeshwa tabia ya ghasia zinazo wakumba wanawake na wasichana kote duniani.
Akiongeza sauti yake kwa mlolongo wa sauti za maafisa wa UM kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, KM Ban Ki-moon, alitoa mwito jana, wa kukomeshwa tabia ya ghasia zinazo wakumba wanawake na wasichana kote duniani.