Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

KM aonya gharama za ghasia dhidi ya wanawake hayahesabiki

KM aonya gharama za ghasia dhidi ya wanawake hayahesabiki

Akiongeza sauti yake kwa mlolongo wa sauti za maafisa wa UM kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, KM Ban Ki-moon, alitoa mwito jana, wa kukomeshwa tabia ya ghasia zinazo wakumba wanawake na wasichana kote duniani.