UNICEF yalaani kudhalilishwa watoto na walimu Madagascar
Shirika la watoto la UM, UNICEF limetoa mwito wa kwa wakuu wa usalama wa Madagascar pamoja na serekali, vyama vya kisaisa na wananchi kuheshimu haki msingi za watoto na kujizuia kutokana na hatua zozote za kuhatarisha watoto.