Baada ya mkutano wa wafadhili juu ya Ghaza msaada bado unazuiliwa
UM unaripoti kwamba licha ya mwito katika mkutano wa wafadhili wa kuruhusu bila kipingamizi chechote msaada kutoka njee pamoja na vifaa vya ujenzi kuingia katika kanda ya Gaza iliyoharibiwa kwa vita, maafisa wa uslama wa Israel wanaendelea kuzuia bidhaa muhimu kuingia.