Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

KM asihi UA juu ya umuhimu wa mioundombinu kuimarisha maendeleo

KM asihi UA juu ya umuhimu wa mioundombinu kuimarisha maendeleo

Ifuatayo ni taarifa fupi juu ya risala ya KM Ban Ki-moon, alioiwasilisha mbele ya viongozi waliohudhuria Mkutano Mkuu wa Umoja wa Afrika unaofanyika sasa hivi katika mji wa Addis Ababa, Ethiopia.