Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wenye njaa Ghaza kuhudumiwa na WFP vyakula viliopikwa

Wenye njaa Ghaza kuhudumiwa na WFP vyakula viliopikwa

Wagonjwa na majeruhi waliowekwa kwenye hospitali za eneo liliokaliwa la WaFalastina la Tarafa ya Ghaza, wanatarajiwa kupokea misaada ya vyakula vilivyopikwa tayari, kutoka Shirika la UM juu ya Miradi ya Chakula Duniani (WFP), ili kuwanusuru na hatari ya njaa, kwa sababu ya upungufu wa chakula na nishati uliochochewa na mashambulizi ya karibuni ya Israel kwenye eneo hilo.