Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNHCR/Kenya wakagua maskani mapya kwa wahamiaji wa Usomali

UNHCR/Kenya wakagua maskani mapya kwa wahamiaji wa Usomali

Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) limeripoti Serikali ya Kenya imekubali kutenga ardhi maalumu, katika eneo la kaskazini mashariki ya nchi, ili kuwaweka wahamiaji wa Usomali, wanaomiminikia Kenya sasa hivi kwa idadi kubwa.