6 Februari 2009
WHO imetangaza kuipatia Kenya yuro 50,000 kusaidia kutibu waathirika wa moto uliotokana na tangi la mafuta ya petroli, ajali ilioua karibu watu 100.
WHO imetangaza kuipatia Kenya yuro 50,000 kusaidia kutibu waathirika wa moto uliotokana na tangi la mafuta ya petroli, ajali ilioua karibu watu 100.