Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

WHO kuipatia Kenya msaada wa tiba kwa waathirika wa ajali ya moto

WHO kuipatia Kenya msaada wa tiba kwa waathirika wa ajali ya moto

WHO imetangaza kuipatia Kenya yuro 50,000 kusaidia kutibu waathirika wa moto uliotokana na tangi la mafuta ya petroli, ajali ilioua karibu watu 100.