Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wagonjwa 67,945 wasajaliwa kipindupindu Zimbabwe na WHO

Wagonjwa 67,945 wasajaliwa kipindupindu Zimbabwe na WHO

Shirika la Afya Duniani (WHO) limeripoti kwamba kumesajiliwa wagonjwa 67,945 wa kipindukipindu katika Zimbabwe hivi sasa, na kati ya jumla hiyo watu 3,371 wameshafariki.~