Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNRWA yasimamisha, kwa muda, misaada ya kihali kwa Ghaza

UNRWA yasimamisha, kwa muda, misaada ya kihali kwa Ghaza

Shirika la UM Linalofarajia WaFalastina wa Mashariki ya Karibu (UNRWA) limetoa taarifa yenye kusema wanasimamisha kuingia Tarafa ya Ghaza bidhaa zote za misaada, baada ya wenye madaraka kutaifisha mamia ya tani za msaada wa chakula mnamo usiku wa Alkhamisi ya tarehe 05 Februari (2009).