6 Februari 2009
KM alizuru Baghdad, na kwenye risala yake alipokuwepo huko aliahidi UM utaendelea kuusaidia umma wa Iraq kwa kila njia kurudisha utulivu na kuimarisha maendeleo yao.
KM alizuru Baghdad, na kwenye risala yake alipokuwepo huko aliahidi UM utaendelea kuusaidia umma wa Iraq kwa kila njia kurudisha utulivu na kuimarisha maendeleo yao.