Mikutano muhimu katika Makao Makuu
Baraza la Usalama lilikutana asubuhi kwenye Makao Makuu ya UM, chini ya uongozi wa Ujapani, Taifa Mwenyekiti kwa mwezi Februari, ambapo kulizingatiwa shughuli za Ofisi ya UM juu ya Ujenzi wa Jumla wa Amani katika Sierra Leone, UNIPSIL.