UNAMID imeanzisha rasmi klabu ya amani kwa vijana Darfur
Vikosi vya Mchanganyiko vya UM-UA kwa Darfur (UNAMID) katika mwisho wa wiki iliopita, kwenye mji mkuu wa jimbo wa El Fasher, vilianzisha klabu ya vijana kwenye Skuli ya Sekondari ya Wanawake, kwa makusudio ya kuwasaidia vijana kutumia klabu kubadilishana mawazo juu ya amani.