UNRWA itaanzisha tena huduma zake Ghaza kufuatia kurudishwa kwa misaada iliotaifishwa
Shirika la UM Linalofarajia Wahamiaji wa KiFalastina katika Mashariki ya Karibu (UNRWA) limeripoti kwamba kundi la Hamas, lenye kushika madaraka kwenye eneo liliokaliwa la Tarafa ya Ghaza, limerudisha zile bidhaa za misaada ilioitaifishwa na wao wiki iliopita.