Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Viongozi wa Bukini waiahidi UM watasawazisha tofauti zao kwa majadiliano

Viongozi wa Bukini waiahidi UM watasawazisha tofauti zao kwa majadiliano

Haile Menkerios, KM Msaidizi juu ya Masuala ya Kisiasa ambaye hivi sasa yupo Bukini, Ijumatatu alikutana kwenye mji mkuu wa Antananarivo na Raisi wa Bukini, Marc Ravalomanana na pia kuonana na meya wa jiji hilo Andry Rajoelina.