Ofisa wa UNRWA anasema raia wa Ghaza washindwa kupokea misaada ya kihali kwa sababu ya mashambulio ya Israel
Mwandishi habari wa Redio ya UM, Samir Imtair AlDarabi leo asubuhi alimwuliza Sami Mshasha, Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Shirika la UNRWA kama wamefanikiwa kugawa chakula, kwa umma muhitaji wa Ghaza, katika siku za karibuni:~