Wataalamu wa haki za binadamu watoa mwito wa kuhifadhi raia Ghaza
Mwenyekiti wa Kamati Maalumu ya Uratibu ya Wakariri Huru wa Haki za Binadamu, Bibi Asma Jahangir, leo amewasilisha taarifa inayosema wataalamu wanachama wa Kamati “wameshtushwa kwa kina juu ya kuendelea kwa wimbi la vurugu kwenye eneo liliokaliwa la WaFalastina la Tarafa ya Ghaza.”