Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

50,000 wang'olewa makazi Usomali kufuatia uhasama

50,000 wang'olewa makazi Usomali kufuatia uhasama

Kuhusu habari nyengine, Mark Bowden, Mratibu Mkazi wa Misaada ya Kiutu katika Usomali, alibainisha wasiwasi mkuu kuhusu hali katika jimbo la Galgaduud, Usomali ya kati, baada ya kuzuka, wiki iliopita, mapigano mapya ambapo watu 40 ziada waliuawa na zaidi ya watu 50,000 walilazimika kung’olewa makwao na kuelekea kwenye maeneo mengine kutafuta usalama.