Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Waasi wa LRA waweseka kuomba upatanishi wa UM

Waasi wa LRA waweseka kuomba upatanishi wa UM

Kundi la waasi wa Uganda wa LRA limetoa mwito unaotaka mashambulio yanayoongozwa bia na majeshi ya JKK, Uganda na Sudan Kusinia dhidi ya kundi hilo, yasimamishwe haraka.