Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kiongozi wa upinzani Zimbabwe anaomba mazungumzo ya upatanishi yafufuliwe

Kiongozi wa upinzani Zimbabwe anaomba mazungumzo ya upatanishi yafufuliwe

Kiongozi wa upinzani Zimbabwe, Morgan Tsvangirai, Ijumatano ametoa mwito kwa Raisi wa Afrika Kusini Kgalema Motlanthe unaomtaka atayarishe mazungumzo ya faragha, ya upatanishi, baina ya wajumbe wa upinzani na Raisi Robert Mugabe, ili kufufua tena zile juhudi za kusuluhisha maafikiano ya kugawana madaraka, yaliotiwa sahihi mwezi Septemba 2008.~