Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Makundi yanayofarakana katika JKK yahimizwa kukomesha haraka uhasama wao

Makundi yanayofarakana katika JKK yahimizwa kukomesha haraka uhasama wao

Duru ya Tatu ya Mazungumzo ya Nairobi juu ya usuluhishi wa mfarakano baina ya Serikali na kundi la Congrès National pour la Défense du People (CNDP) kuhusu eneo la mashariki katika JKK, imeanza majadiliano muhimu hii leo yalioongozwa na Mpatanishi Mwenzi, Raisi mstaafu Benjamin Mkapa wa Tanzania kwa sababu Mjumbe Maalumu wa KM kwa Eneo la Maziwa Makuu, Olusegun Obasanjo, hakuweza kuhudhuria. Mkapa aliwaambia wajumbe