Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

WHO inasema huduma za afya Ghaza zimevurugika

WHO inasema huduma za afya Ghaza zimevurugika

Shirika la Afya Duniani (WHO) limeripoti huduma za afya ya jamii katika Tarafa ya Ghaza zinahitajia, kidharura vifaa, madawa na wafanyakazi.