Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kamati ya Haki ya Mtoto yakutana Geneva

Kamati ya Haki ya Mtoto yakutana Geneva

Kamati juu ya Haki ya Mtoto imeanzisha kikao cha 50 mjini Geneva leo Ijumatatu kuzingatia ripoti kuhusu utekelezaji wa haki hizo katika mataifa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Umma wa Korea (Korea ya Kaskazini), JKK, Malawi, Uholanzi, Chad na vile vile Moldova