WFP kuanzisha operesheni za kuokoa maisha ya mamia elfu Ghaza
Shirika la UM juu ya Miradi ya Chakula Duniani (WFP) limeanzisha huduma ijulikanayo kama Operesheni za Kamba ya Kuokolea Ghaza, yenye lengo la kuhudumia watu wenye njaa ambao idadi yao inaendelea kuongezeka kila kukicha, tangu Israel kuanzisha mashambulio yake karibu wiki tatu zilizopita.