Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Watoto wa Ghaza lazima walindwe, Kamati ya Haki ya Mtoto yasihi

Watoto wa Ghaza lazima walindwe, Kamati ya Haki ya Mtoto yasihi

Kamati ya UM juu ya Haki ya Mtoto, yenye wajumbe 18, ambayo inakutana sasa Geneva, imetoa ripoti yenye kubainisha wasiwasi mkubwa juu athari haribifu, kiakili, dhidi ya watoto wadogo, kutokana na vurugu la mapigano liliopamba kwenye eneo la Tarafa ya Ghaza.